Wanachama wa TADIO

TADIO ina jumla ya wanachama 43 zikiwemo redio jamii 43 na klabu ya waandishi wa Habari Pemba. Redio stesheni hizi 43 zinawafikia Watanzania zaidi ya milioni 33 huku zikiwa na wasikilizaji Tanzania bara na visiwani ikiwa ni takribani asilimia 70 ya eneo lote la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. TADIO ipo katika mchakato kutengeneza jukwaa la redio jamii mtandaoni ambapo redio hizi zitaweza kurusha matangazo mubashara na vipindi mbalimbali.

Ifuatayo ni orodha redio jamii ambazo ni wanachama hai wa TADIO.

Adhana FMZanzibar
Baraka FMMbeya
Chai FM RadioTukuyu (Mbeya)
Dodoma FMDodoma
Highland FMMbeya
Huheso FMKahama(Shinyanga)
Idea FM RadioArusha
Ileje FMIleje (Songwe)
Jamii FM RadioMtwara
Joy FMKigoma
Kahama FMKahama (Shinyanga)
Karagwe FMKaragwe (Kagera)
Kitulo FMMakete (Njombe)
Loliondo FM RadioLoliondo (Arusha)
Keifo FMMbeya
Manyara FMManyara
Mazingira FMBunda (Mara)
Micheweni FMMicheweni (Pemba North)
Mkoani FM RadioMkoani (Pemba South)
Mpanda Radio FMMpanda (Katavi)
Mtegani FM RadioMakunduchi (Unguja South)
Mufindi FMMafinga (Iringa)
Nuru FMIringa
Orkonerei FM Radio ServiceSimanjiro (Manyara)
Pambazuko FM RadioIfakara (Morogoro)
Pangani FMPangani (Tanga)
Radio AhmadiyyaMtwara
Radio Boma Hai FMHai (Kilimanjaro)
Radio FadhilaMasasi (Mtwara)
Radio Jamii KilosaKilosa (Morogoro)
Radio KwizeraKagera, Kigoma & Tabora
Radio KichekoMoshi
Radio SengeremaSengerema (Mwanza)
Ruangwa FM RadioRuangwa (Lindi)
Sibuka FMMaswa (Simiyu)
Storm FMGeita
Triple A FMArusha
Tumbatu FMTumbatu (Unguja North)
Unyanja FMNyasa(Ruvuma)
Uvinza FMUvinza (Kigoma)
Uyui FMUyui (Tabora)
Zenj FMZanzibar