
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu amewataka wazazi kuwasimamia watoto katika matumizi ya vifaa vya keletroniki ili kuwaepusha kujiingiza katika vitendo vya ngono na ukatili mwingine mitandaoni.
Ameyasema hayo jana jijini Dodoma tarehe 15/06/2020 wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika yanayoadhimishiwa Juni 16 kila mwaka.
Ameongeza kuwa katika kipindi hiki tumeshuhudia watoto wanatumia vifaa ya kielektroniki ikiwa pamoja na simu na komputa kujifunzia, ni vyema watoto wazingatie matumizi sahihi ya vifaa hivyo ili kuepusha kufanyiwa vitendo vya kikatili.
Amesisitiza kuwa Wazazi au Walezi hakikisheni watoto Usalama wa watoto ni muhimu wakati wote na hivyo, watoto wakiwa nyumbani katika kipindi hiki wajiepushe kwenda kwenye maeneo yatakayo hatarisha usalama wao, ikiwa pamoja na kubakwa, kulawitiwa, kushawishiwa kufanya ngono na hata kupata maambukizi ya Corona.
“Katika eneo la malezi ya watoto wetu bado kuna changamoto kubwa ya matumizi ya mitandao tuhakikishe tunawasimamia waotto wetu wasijiingize katika masuala yasiyofaa katika mitandao hiyo” alisema.
Aidha Waziri Ummy amaesema kumekuwa na ongezeko la matukio ya vitendo vya ukatili wa kijinsia nchini ikiwa ni kwasababu wananchi wengi wamepata uelewa na kuweza kutoa taarifa katika maeneo maalum yaliyotolewa na Serikali kutoa taarifa hizo.
Ameitaja Mikoa ya kipolisi iliyoongoza kuwa na matukio mengi zaidi ya ukatili dhidi ya watoto kwa mwaka 2018 kwa ni Mkoa wa Tanga (1,039), Mbeya (1,001), Mwanza (809) na Arusha (792) na kwa mwaka 2019 ni Mkoa wa Tanga (matukio 1,156), Mkoa wa Kipolisi-Temeke (844), Mbeya (791) na Mwanza (758).
Kwa upande wake Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Maendeleo ya Mtoto Sebastian Kitiku amesisitiza wazazi kuwajibika kwa kuhakikisha wanawasimamia watoto wako kwa kuhakikisha wanawasimamia na kufuatilia masuala ambayo yanaweza kusababisha ukatili kwa watoto.
“Wazazi tuwaangalie watoto wetu tusiwaache watoto wakajiamulia baadhi ya vitu ambavyo vitawasababisha waingie katika mambo ambayo yatapelekea kufanyiwa vitendo vya kikatili” alisema.
Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika kwa mwaka 2020 inaoongozswa na Kauli mbiu isemayo “Mifumo Rafiki ya Upatikanaji Haki ya Mtoto: Msingi Imara wa Kulinda Haki Zao”
Latest
-
May 4, 2024
MAJALIWA: WATENDAJI WA SERIKALI TOENI USHIRIKIANO KWA WANAHABARI
-
April 10, 2024
Salamu za Eid Al Fitr from TADIO
-
April 9, 2024
TADIO na Farm Radio International Wajenga Ushirikiano kwa Maendeleo ya Jamii.
-
December 21, 2023
Advocating for Men to Involve and Uplift Women.
-
December 12, 2023
Orkonerei FM’s Leap into the Digital Age Through In-House Editorial Portal Training
Archive
- 2024
- 2023
-
2021
- February (1)
-
January
(7)
-
Redio wanachama wa TADIO kunufaika na msaada wa vifaa vya kujikinga na magonjwa ya mlipuko kutoka UNESCO
-
Rais wa Zanzibar aipongeza UNESCO
-
wazazi wajibikeni katika malezi
-
Wananchi Chilonwa waomba kukarabatiwa daraja
-
Kilimo cha Mkonge kwa Wakulima wadogo Pangani.
-
KIKAO cha Kamati ya Ushauri Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara utekelezaji wa miradi ya maendeleo
-
Wakina Mama wanao Nyonyesha watakiwa kuzingatia usafi wa Mwili na Mazingira- Kilosa.
-
-
2020
- November (2)
- October (1)
-
September
(6)
-
Redio Micheweni FM ikifanya mahojiano na mwenyekiti wa TADIO kuelekea IDUAI 2020
-
Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Upataji wa Taarifa 2020
-
UNESCO:Waandishi tumieni mifumo ya Tehama katika kuandika habari za Uchunguzi.
-
Wanahabari watakiwa kuandika zaidi habari za wanawake na watoto
-
UNESCO na SDC wawajengea uwezo shirika la Habari za maendeleo – TADIO
-
Bei ya nafaka yaendelea kushuka mkoani Katavi
-
-
August
(4)
-
Pakua jarida picha mafunzo ya Uhamasishaji juu ya Maadili ya Vyombo vya Habari na Kuripoti juu ya Hali ya Migogoro na Mabadiliko
-
Mashirika yasiyo ya kiserikali kufundisha waandishi wa habari 60 juu ya maswala ya haki za binadamu
-
Viongozi wa TADIO waaswa kufanya maamuzi ambayo yatasuluhisha shida za Wajumbe wao
-
WAANDISHI WA HABARI WAASWA KUFUATA MAADILI
-
- July (3)
-
June
(15)
-
UWEKEZAJI TUNAOUTAKA NI ULE WA KUWAJIBIKA KATIKA JAMII- WAZIRI KAIRUKI
-
MILIONI 780 KUJENGA KLINIKI YA HUDUMA ZA METHADONE MKOA WA TANGA.
-
SHULE YA SEKONDARI MWERA KUPOKEA WANAFUNZI 80 WA KIDATO CHA TANO
-
Waziri Waziri Wa Afya Ummy Mwalimu Awasihi Wazazi Kuwasimamia Watoto Katika Matumizi Ya Vifaa Vya Kieletroniki
-
Serikali Imeendelea Kutekeleza Makubaliano Yakimataifa Katika Mapambano Dhidi Ya VVU
-
Tanzania Yatajwa kuwa nchi ya kwanza kwa utulivu na amani katika Ukanda wa Afrika Mashariki .
-
Rais Magufuli Atangaza kufungua shule zote zilizokuwa zilizokuwa Zimefungwa Kisa Corona, Juni 29, 2020.
-
Taarifa Ya Hali Ya Uchumi Wa Taifa Kwa Mwaka 2019 Na Mpango Wa Maendeleo Wa Taifa Wa Mwaka 2020/21 Wawasilishwa Bungeni
-
Ukuaji wa pato halisi la Taifa kupungua na kufikia asilimia 5.5
-
Hati safi Halmashauri ya Mji wa Bunda yamkosha Malima
-
Serikali Haitopanga Bei Ya Zao La Pamba Msimu 2020 – Waziri Hasunga
-
halmashauri ya wilaya ya Mlele yatakiwa kukamilisha miradi ya maendeleo kwa wakati
-
Shule za msingi na sekondari kufunguliwa karibuni
-
Watumishi watatu wa Halmashauri ya wilaya ya Nkasi Mikononi mwa TAKUKURU
-
Waziri Jafo aagiza kuchunguzwa kwa Halmashauri ya Mlele Mkoani Katavi
-
-
May
(12)
-
Waziri Mwakyembe azitaka ofisi za Umma kutoa taarifa kwa wanahabari
-
Baraza la Madiwani laipongeza Radio ya Jamii Unyanja.
-
CORONA: Wahudumu wa Afya Hai wapatiwa Msaada Kukabiliana na COVID-19.
-
RAIS WA ZANZIBAR APONGEZA RADIO JAMII
-
Mradi wa Maji wa Bil 9.4 Kyaka- Bunazi Wasainiwa
-
MAMBO YA KUZINGATIA WAKATI WA KUVAA BARAKOA .
-
Serikali Yataja Sababu za Sukari Kuadimika Nchini
-
ELIMU:KUHUSU UVAAJI WA BARAKOA
-
Mfumuko Wa Bei Wa Taifa Wapungua Hadi Asilimia 3.3 % Kutoka Asilimia 3.4%.
-
Barabaraya Uyogo – Ulowa Katika Halmashauri Ya Ushetu Yapandishwa Hadhi
-
VIRUSI VYA CORONA VINAWEZA KUSAMBAA KUPITIA VITASA NA SIMU?
-
WAZIRI MAHIGA AFARIKI DUNIA
-
-
April
(21)
-
Serikali Itaendelea Kuwakinga Watumishi Wa Afya dhidi ya Covid – 19
-
PANGANI INAHITAJI ZAIDI YA MILIONI 45 ILI KUPAMBANA NA CORONA
-
ZANZIBAR YATANGAZA WAGONJWA WAPYA 7 WA COVID19
-
WANANCHI MICHEWENI WAUNGANA KUDHIBITI #CORONA KWENYE MAENEO YAO
-
Kenya wagonjwa wafikia 355.
-
NECTA KUENDESHA MITIHANI YA TAIFA BAADA YA MITIHANI YA MAJARIBIO
-
WAGONJWA 37 WAPONA CORONA, 71 WASUBIRI VIPIMO VYA MWISHO
-
WAZIRI MKUU AELEZEA HALI YA MAAMBUKIZI YA CORONA MPAKA SASA
-
MAOMBI YA KITAIFA KUFANYIKA KESHO
-
WALIOPONA COVID 19 KUCHANGIA DAMU ILI KUTAFUTA TIBA
-
Bilioni 18.62 zang’arisha Kigoma kwa Barabara za Lami
-
MVUA YALETA ATHARI KWA WAKAZI WA WILAYA YA UVINZA
-
MVUA YATENGANISHA VIJIJI -KATAVI
-
TANZANIA YATANGAZA WAGONJWA WAPYA 53 WA CORONA
-
MAKONDA ATOA WITO WA KUTOSAFIRI BILA SABABU MAALUMU KUEPUKA CORONA
-
SERIKALI YAKANUSHA UWEPO WA UHABA WA SUKARI NCHINI
-
RAIS MAGUFULI AWAOMBA WATANZANIA WATUMIE SIKU TATU KUMUOMBA MUNGU KUHUSU #COVID19
-
MBARONI KWA KUDANGANYA KUUMWA #COVID19
-
CORONA: WAGONJWA WAPYA SITA WARIPOTIWA ZANZIBAR
-
RAIS MUSEVENI AWAONYA WENYE NYUMBA, ATAKA WAPANGAJI WASIFUKUZWE
-
KUHUSU CHINA KUTOA MSAADA TANZANIA
-
-
March
(7)
-
Waziri Wa afya atangaza kifo cha kwanza cha mgonjwa wa corona Tanzania.
-
hizi ndio sampuli kwa ajili ya vipimo vya korona
-
maswali na majibu kuhusu Corona
-
Je nani anaweza kuathiriwa na corona?
-
LEO NI SIKU YA KIFUA KIKUU (TB) DUNIANI
-
PATA TAARIFA SAHII KUHUSU HOMA YA VIRUSI VYA CORONA.
-
MIUNDOMBINU YA BARABARA NI TATIZO KUBWA JIMBO LA NSIMBO MKOANI KATAVI.
-
- February (3)
-
2019
- December (1)
- November (1)
- October (1)
-
May
(5)
-
TADIO WAISHUKURU UNESCO KWA KUENDELEA KUWASHIKA MKONO.
-
WAANDISHI WA HABARI WAFANYA ZIARA MAKAO MAKUU YA IDARA YA HABARI MAELEZO
-
BEST DIALOGUE YAWAFUNDA WASIMAMIZI WA VIPINDI RADIO ZA KIJAMII.
-
HABARI MAELEZO KUSHIRIKIANA NA TADIO
-
Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani 2019 Yaanza Dodoma
-
- March (1)